Waziri asisitiza Watanzania kutembelea vivutio

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt Pindi Chana

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt Pindi Chana, ameendelea kuhamasisha wananchi kutembelea vivutio vya utalii vilivyo katika maeneo mbalimbali hapa nchini katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS