BASATA wafunguka walichomuitia Dulla Makabila 

Picha ya Katibu Mkuu Mtendaji wa BASATA Dkt Kedmon Mapana akizungumza na waandishi wa habari

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wamefunguka walichomuitia msanii wa singeli Dulla Makabila kuhusu wimbo wake mpya ya 'Pita huku' wakisema neno la 'Shoga' lililotumika kwenye wimbo huo ndio limezua taharuki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS