Watu 5000 waomba kazi jeshi la polisi Zanzibar

Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Khamis Hamad Khamsi.

Watu zaidi ya 5000 wameomba nafasi ya kazi katika jeshi la polisi kamisheni ya Zanzibar, huku kamisheni hiyo ikihitaji kuajiri watu chini ya 500.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS