Akutwa kanisani akiwa uchi

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Rama anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40  mkazi wa Morogoro amekutwa akiwa uchi ndani ya  kanisa la Anglikana lililopo mtaa wa Matema kata ya Maguvani Halmashauri ya mji wa Makambako

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS