Simbachawene ampongeza Mwalimu aliyeongeza ufaulu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene,akiwa na Mwalimu Yasinta Chipanjile.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene, amempongeza Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Iramba Yasinta Chipanjile, kwa kuongeza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS