Elie Mpanzu ampasua kichwa Fadlu Davies

Klabu ya Simba inashida ya uwepo wa Mchezaji anayeweza kucheza kwa kutokea pembeni ambaye anaweza kufunga na kutengeneza magoli.Viungo wa pembeni wa timu ya Simba wanachangamoto ya kutengeneza nafasi Kibu Denis,Radack Chasambi,Edwin Balua,Joshua Mutale wote mchango wao wa kufunga na kutengeneza nafasi umekuwa mdogo msimu huu.
Kocha wa timu ya Simba Fadlu Davies amemzungumzia Mshambuliaji mpya wa timu hiyo Elie Mpanzu kwakuwa anamuumiza kichwa wapi Mchezaji huyo atacheza pale taratibu zote za usajili wake zitakapokamilika.