Mwili wa Brigita wapatikana umeharibika

Brigita Sanga (Pude), wakati wa uhai wake

Mwili wa Brigita Sanga (Pude) ambaye alikuwa ni ndugu wa marehemu Neema umepatikana ukiwa tayari umeharibika ikiwa ni takribani wiki moja tangu yatokee maafa ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa nne na kufukia watu katika eneo la Kariakoo Dar es Salaam tukio lililopelekea vifo na majeruhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS