Shule Dar yakaribiana na makaburi
Wanafunzi wa shule ya sekondari Boko Mtambani iliyoko Kinondoni jijini Dar es Salaam, wako hatarini kupata matatizo ya kisaikolojia kutokana na kukosekana kwa uzio kati ya madarasa ya shule hiyo na makaburi yaliyokaribu sana na madarasa hayo.