Victor Tesha, Makamu wa Rais wa shirikisho la wachimbaji Tanzania (FEMATA).
Wachimbaji Nchini wameiomba Serikali kuwawezesha Mashine za uchorongaji miamba, ili kuongeza uzalishaji na uaminifu kwenye taasisi za kifedha ili waweze kukopesheka na kuongeza mitaji yao.