Mwandishi TBC afariki akishuka Mlima Kilimanjaro

Mwandishi wa habari na mpiga picha wa TBC mkoani Manyara, Joachim Kapembe, aliyefariki dunia

Mwandishi wa habari na mpiga picha wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) mkoani Manyara, Joachim Kapembe, amefariki dunia jana Desemba 13, 2022, alipokuwa akishuka kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS