Mtoto wa miaka 9 anusurika kuliwa na mamba.

Mashambulizi ya mamba ni ya kawaida katika mito mikubwa ya Msumbiji

Mtoto wa miaka tisa amenusurika kifo kutokana na shambulio la mamba katika wilaya ya Chibuto katika mkoa wa kusini mwa Msumbiji wa Gaza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS