Makundi ya Simba, Yanga Kimataifa ni haya Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Droo ya hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika na ile ya Kombe la Shirikisho imefanyika leo Jijini Cairo nchini Misri na kushuhudia klabu ya Simba na Yanga wakipangiwa wapinzani wao kuelekea hatua hiyo. Read more about Makundi ya Simba, Yanga Kimataifa ni haya