Waliochoma vitu vya wakulima wapanda kizimbani

Watu 10 Wilayani Kiteto Mkoani Manyara wamefikishwa mahakama ya wilaya ya Kiteto kwa makosa 14 likiwemo kuteketeza trekta kwa kukata matairi, kuweka chumvi kwenye injini na kuchoma vibanda vya wakulima wa Kijiji cha Engong’ongare Kata ya Lengatei

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS