"Walio tayari kukaa vijijini waajiriwe"- Masanja

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amesema kuwa ili kuwafanya walimu wabaki katika vituo vya kazi bila kuhama, ni vyema ajira za walimu zinapotoka kipaumbele kiwe kwa wale walio tayari kufanya kazi vijijini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS