Raia wa kigeni watimuliwe Tanzanite One - Waziri Waziri wa Nishati na Madini, Mh. George Simbachawene Waziri wa Nishati na Madini Mh. George Simbachawene ameuagiza uongozi wa Kampuni ya Tanzanite One ya Mjini Arusha uwatimue kazi raia 30 wa kigeni waliajiriwa katika kampuni hiyo kama wataalamu. Read more about Raia wa kigeni watimuliwe Tanzanite One - Waziri