Al Hilm mpira wa Nusu Fainali Kombe la Dunia
Shirikisho la soka Duniani FIFA limetambulisha mpira rasmi utakaotumika kuanzia hatua ya Nusu Fainali hadi fainali ya michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar unaojulikana kama 'Al Hilm' ikimaanisha ndoto.