Wananchi wapiga kura kumkataa mwenyekiti wao
Wananchi wa Kitongoji cha Rutozo kilichopo kata ya Katoro mkoani Geita wamemuondoa madarakani aliyekuwa mwenyekiti wao Joseph Mbishi kwa tuhuma za kuwakamata wanawake na kukaa nao muda mrefu ili wakombolewe na waume zao kwa kigezo cha kukusanya michango ya ujenzi wa shule