Korea kuipa Tanzania mkopo wa kulipa kwa miaka 40

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia Mfuko wa Shirika la Maendeleo ya Kiuchumi (EDCF), kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS