Wajasirimali wa Tanzania washiriki maonesho Uganda
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, imefanikisha ushiriki wa Wajasiliamali zaidi ya 300 katika maonesho ya 22 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Wajasiliamali Wadogo na Wakati maarufu kama Juakali Uganda