Kocha Yanga Princess atimuliwa
Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa Yanga Princess Edna Lema na Kocha Msaidizi, Mohammed Hussein leo Disemba 8, kutokana na matokeo mabaya waliyoyapata kwenye mchezo wao dhidi ya Fountain Gate Princess kwa kupoteza 1-0.