Lee Carsley amaliza muda wake England
Kaimu Kocha mkuu wa timu ya taifa ya England Lee Carsley amemaliza muda wake wa kufundisha timu ya taifa hilo kwenye mchezo dhidi ya Ireland ambao umetamatika kwa kikosi cha Simba watatu kushinda kwa ushindi mnono wa goli 5-0 ushindi huo umeifanya England kufuzu kucheza Ligi A.