Mapambano dhidi ya ujangili kuendelea - Serikali
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema itaendelea kuongeza nguvu katika jitihada za Kuzuia na Kupambana na ujangili wa wanyamapori na Biashara ya nyara na mazao ya misitu ili kutokomeza kabisa vitendo hivyo vinavyoathiri taswira ya nchi, uchumi na maendeleo ya uhifadhi