Wadau wa haki za binadamu wakutana

Onesmo Ole Ngurumwa mratibu wa kitaifa THRDC

Serikali kupitia tume ya haki za binadamu na utawala bora imeyataka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayojihusisha na utetezi wa haki za binadamu kufuata sheria kanuni na taratibu ambazo nchi imejiwekea ili kulinda utu na utamaduni wa mtanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS