Wadau wa haki za binadamu wakutana
Serikali kupitia tume ya haki za binadamu na utawala bora imeyataka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayojihusisha na utetezi wa haki za binadamu kufuata sheria kanuni na taratibu ambazo nchi imejiwekea ili kulinda utu na utamaduni wa mtanzania.