Mlinzi wa chuo cha Ruaha aiba gari chuoni hapo

Gari aina ya Toyota Raum lililokuwa limeibiwa na mlinzi

Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa, linamshikilia David Richard, ambaye ni mlinzi wa Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha (RUCU), kwa tuhuma za kuiba gari aina ya Toyota Raum yenye mali ya mfanyabiashara Abraham Gasper mkazi wa Mkwawa mjini Iringa ambayo ilikuwa kwenye maegesho chuoni hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS