Watupwa jela kwa kuiba Nguruwe wa Mwalimu
Watu wawili wakazi wa mtaa wa Msakasaka wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano kwenda jela kwa kuiba vitu mbalimbali ukiwemo mfugo aina ya Nguruwe mali ya mwalimu wa shule ya sekondari Kiteto.