Watupwa jela kwa kuiba Nguruwe wa Mwalimu

Vijana wawili John Solomon (25) na Sadick (33) waliohukumiwa kwenda jela miaka mitano

Watu wawili wakazi wa mtaa wa Msakasaka wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano kwenda jela kwa kuiba vitu mbalimbali ukiwemo mfugo aina ya Nguruwe mali ya mwalimu wa shule ya sekondari Kiteto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS