Uhamiaji nchini wamrejesha Iran mratibu wa ugaidi
Idara ya Uhamiaji nchini imemkamata na kumrudisha mara moja nchini kwao raia wa Iran aliyefahamika kwa jina la Hamidrrza Mohammad Abraheh, ambaye amekuwepo nchini kwa zaidi ya miezi sita akidaiwa kuratibu uhalifu wote wa kimataifa ikiwemo ugaidi