Uhamiaji nchini wamrejesha Iran mratibu wa ugaidi

Kamishna Uhamiaji na Udhibiti wa Mipaka Samweli Miharane

Idara ya Uhamiaji nchini imemkamata na kumrudisha mara moja nchini kwao raia wa Iran aliyefahamika kwa jina la Hamidrrza Mohammad Abraheh, ambaye amekuwepo nchini kwa zaidi ya miezi sita akidaiwa kuratibu uhalifu wote wa kimataifa ikiwemo ugaidi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS