Wawili jela miaka 15 kwa mauaji ya dereva bodaboda
Wakazi wawili wa Kijiji cha Mtanga,wilaya ya Nachingwea, Mkoa wa Lindi, Saidi Juma Afia (20) na Huseni Athumani Juma (22) wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 Gerezani kila mmoja baada ya kukutwa na hatia ya kumuuwa dereva wa Pipikipiki Huseni Athumani Juma