Mfungaji bora huyo wa mashindano ya kombe la Dunia la mwaka 2002 atashindana na Rais wa sasa wa CBF Ednaldo Rodrigues katika uchaguzi mkuu utakaofanyika 2026.
Nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil Ronaldo Nazario Di Lima ametangaza kuwania Urais wa shirikisho la mpira nchini Brazil Brazilian Football Confederation ( CBE ).