Polisi Arusha kuendelea kupambana na ukatili

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Polisi wanawake (TPF NET), mkoani humo Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SSP Edith Swebe

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema litaendelea na mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto kwa kuhakikisha wanaibua na kuwachukulia hatua watu wote wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS