Tawi la Ccm Mtakuja wapokea tofali 200

Kutokana na Ofisi ya Tawi la Mtakuja  la Chama Cha Mapinduzi CCM katika kata ya Kunduchi kufanya vikao katika miti Tawi hilo limepokea msaada wa matofali 200 kutoka kwa mdau wa maendeleo na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS