CHADEMA haitasusia Uchaguzi Serikali za Mitaa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeahidi kutojitoa kwenye mchakato mzima na ushiriki wa Uchaguzi wa Serikali kama ilivyotokea miaka ya nyuma ili waweze kupata viongozi watakaowawakilisha kwenye ngazi ya jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS