"Kwenye mabwawa yetu mvua haijanyesha"- TANESCO

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema kwamba bado ukame unaendelea kuyakumba mabwawa ya uzalishaji wa umeme yanayotegemewa na shirika hilo licha ya uwepo wa mvua kwenye baadhi ya maeneo nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS