"Kwenye mabwawa yetu mvua haijanyesha"- TANESCO
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema kwamba bado ukame unaendelea kuyakumba mabwawa ya uzalishaji wa umeme yanayotegemewa na shirika hilo licha ya uwepo wa mvua kwenye baadhi ya maeneo nchini.