Wabunge wacharuka miradi kusuasua

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge kilimo, Mifugo na maji

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge kilimo, Mifugo na maji wameitaka mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira MWAUWASA jijini Mwanza kuhakikisha wanamsimamia kikamilifu mkandarasi anayejenga chanzo cha maji cha Butimba ili kuhakikisha wakazi wa jiji hilo wanapata maji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS