Vitabu visivyo na maadili vizuiwe - Serikali

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  imeweka zuio la matumizi  ya vitabu visivyo na maadili ya kitanzania mshuleni ili kuendelea kusimamia utoaji wa elimu na kuhakikisha njia mbalimbali za ufundishaji zinazingatia ubora na maslahi ya nchi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS