Yanga kuifata US Monastir wikiendi hii

Rais wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Injinia Hersi Said amesema, tayari wameshakamilisha maandalizi ya safari ya kuelekea Tunisia, kwa ajili ya mchezo wa Mzunguuko wa Kwanza Hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS