Wanaume watakiwa kupima UKIMWI

Kipimo cha UKIMWI

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Shaibu Ndemanga, amewakumbusha wanaume wenzake kujenga tabia ya kwenda vituo vya kutolea huduma kupima Afya zao,ukiwemo UKIMWI ili kujitambua kama wapo salama na maambukizi ya virusi vinavyochangia ugonjwa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS