Mama aua wanaye wawili na yeye kujinyonga

Miili ya mama na wanaye

Amina Maketu mwenye umri wa miaka 34 amewaua watato wake wawili wenye umri wa miaka  9 na mwingine ana umri wa mwaka 1 na miezi 8 na kisha yeye mwenyewe kujinyonga huku chanzo cha tukio hilo ikiwa ni ugomvi wa ardhi uliotokea kwenye familia yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS