Uchumi wa Tanzania umeongezeka - Waziri Kairuki Waziri wa TAMISEMI Angellah Kairuki amesema uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 4.8 kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022 ikilinganishwa na asilimia 3.8 kwa mwaka 2021. Read more about Uchumi wa Tanzania umeongezeka - Waziri Kairuki