Uganda yakanusha Ebola kuenea kwa kasi Wizara ya afya ya Uganda imekanusha madai kwamba hafla ya kukimbia iliyofanyika mwishoni mwa juma lililopita katika mji mkuu, Kampala, lilikuwa tukio la kusambaa kwa kiwango kikubwa cha Ebola. Read more about Uganda yakanusha Ebola kuenea kwa kasi