Yanga kuifuata FC Platinum Kesho

Yanga na Platinum katika mechi ya awali Taifa

Timu ya Yanga inatarajia kuondoka kesho Kuelekea nchini Zimbabwe kucheza mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya timu ya FC Platinum ya nchini Zimbabwe itakayochezwa April nne uwanja wa Mandava uliopo Gweru Bulawayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS