Ajira bado ni Changamoto Afrika- Kikwete

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akihutubia katika kongamano la siku tatu kuhusu mikakati mipya ili kutokomeza ukosefu wa ajira,

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete jana amehutubia katika kongamano la siku tatu kuhusu mikakati mipya ili kutokomeza ukosefu wa ajira, linalofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, mjini New York.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS