Walemavu Njombe wataka Nakala za Katiba Pendekezwa

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba Inayopendekezwa yenye maandishi yaliyokuzwa mara baada ya kukabidhiwa.

Makundi ya watu wenye ulemavu wa viungo mbalimbali wakiwemo wenye ulemavu wa miguu na macho mkoa wa Njombe wameiomba serikali kuwapatia nakala za Katiba Inayopendekezwa Ili Na waweze Kuzisoma na Kuipigia Kura Katiba hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS