Uhamiaji yakana 'kuwakumbatia' wahamiaji haramu

Naibu Kamishna na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania, Abbas Mussa Irovya.

Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania, imekanusha taarifa zilizotolewa na chombo kimoja cha habari (sio cha IPP) kwamba imekuwa ikiwakumbatia wageni wanaoingia nchini isivyo halali hususani wahamiaji haramu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS