Van Nistelrooy anukia Leicester City

Kakiongoza kikosi cha Mashetani Wekundu la Jiji la Manchester kushinda michezo mitatu na kutoka sare mchezo mmoja wa ligi dhidi ya Chelsea mchezo uliopigwa dimba la Old Trafford aliamua kuondoka baada ya kuambiwa hatokuwa sehemu ya benchi la ufundi la Kocha mpya wa timu hiyo Mreno Ruben Amorim.

Ruud van Nistelrooy anatarajiwa kutangazwa kuwa Kocha mkuu mpya wa klabu ya Leicester City inayoshiriki ligi kuu Uingereza atakwenda kuchukua mikoba ya Kocha Steve Cooper, aliyefutwa  kazi wiki iliyopita baada ya kupoteza mchezo wa ligi kuu EPL  kwa goli 2-1 dhidi ya Chelsea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS