Willy Paul apagawishwa na dili

msanii wa muziki wa nchini Kenya Willy Paul

Star wa muziki wa nchini Kenya, Willy Paul ameelezea furaha kubwa aliyonayo kwa njia ya mtandao baada ya kupata shavu kubwa la ubalozi wa bidhaa ya maji ya kunywa, ikiwa ni mkataba ambao umeweza kubadili kabisa maisha yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS