Ligi Kuu Soka Tanzania Bara kuendelea Kesho

Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea kesho kwa viwanja vitatu kutimua vumbi ambapo Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Yanga watawakaribisha Kagera Sugar mchezo utakaoanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS