TFF yapata bendera yake kwa mara ya kwanza Rais wa TFF, Jamal Malinzi Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) jana limefanya Mkutano Mkuu wa Mwaka katika ukumbi wa Morogoro hoteli ya mjini Morogoro ambapo mgeni Rasmi alikua ni mkuu wa mkoa wa Morogoro Dr Rajabu Rutengwe. Read more about TFF yapata bendera yake kwa mara ya kwanza