Shilole: Vijana wajiandikishe waweze kupiga kura msanii wa miondoko ya bongofleva nchini Shilole Kampeni kubwa ya ZamuYako2015 yenye lengo la kuhamashisha vijana kushiriki katika zoezi kujiandikisha kupiga kura, imeendelea kupamba moto ikiendelea kuungwa mkono na wasanii mbalimbali. Read more about Shilole: Vijana wajiandikishe waweze kupiga kura