Mtoto auawa na Mjomba wake kwa Kuchinjwa na sululu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Ahmed Z. Msangi.

Mtoto mwenye umri wa miaka 05 aliyetambulika kwa jina la Jonson Mwamwere, mkazi wa Nsalaga jijini Mbeya, aliuawa kwa kupigwa sululu kichwani na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili na mjomba wake aitwaye Yona Mwamwere.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS