Mwenyekiti wa Wafanyabiashara afutiwa dhamana

Johnson Minja (Kushoto) akiwa mahakamani (Dodoma)

Mahakama mkoani Dodoma imefuta dhamana ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja kutokana na kukiuka masharti ya dhamana aliyopewa ikiwemo ya kutowazuia wafanyabiashara kufunga maduka yao wakati kesi yake ikiendelea mahakamani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS